Abdallah Mpogole Poems

Hit Title Date Added
11.
Kichaa Anena.

Katika hadhara kubwa, watu wameshika tama.
Yatoka sauti kubwa, napenyeza kina mama.
Mara kibao nazabwa, uwi! Uwi mh kichaa!
Pungufu hawezi kuwa, maneno yake yafaa.
...

12.
Ewe Nyota.

Siku nyingi zimepita, tangu ulipoondoka.
Salamu zako napata, wasafiri wakifika.
Upweke wanikong'ota, wapinzani wanicheka.
Ewe nyota nakuota, lini utanikumbuka.
...

13.
Mu Wapi Wafasiri.

Nimejinamia sana, nimechoka kuvisoma.
Tufanye jambo la mana, nisijwe pandwa na homa.
Je Taaluma hakuna, ni vipi tukose chama.
Tufanye lilo busara, tuwape kilicho bora.
...

14.
Unga

Unga Mwanangu unga,
sijeunga visivyounga,

Unga mpenzi unga, unga twende kukonga.
...

15.
Mighty

That is what they call white,
The colour of their right,
I'm in query this night.
...

16.
Who Could

Who wish what i dream,

Who stays along when i scream,
...

17.
Nimechoka

Sikuipenda dunia niliyoishi,
Na sikupenda vile nilivyoishi.

Dunia ilo na Jua na kila aina ya nuksi,
...

18.
Napenda Kuandika.

Kalamu ya risasi tosha, naandika na kufuta.
Matendo yalonikosha, pia yalonikokota.
Yote nayaoanisha, wazo kamili napata.
Kwa njia ya ushairi, mie hupenda kuandika.
...

19.
Muhogo Mtamu.

1.Tule muhogo jamani, chakula cha wananchi.
Wala tusione soni, tafuna ilo mibichi.
Ifuateni sokoni, hamsini tu jisachi.
Chakula cha watu wote, yupi asema ukata?
...

20.
Stay Calm They Say.

Morning as it comes,

We are waiting for sleeping time.
...

Close
Error Success