Mpenzi, mbona wanitupilia mbali?
Na kuniacha katika ziwa la mashaka,
Kisha nikapata mawazo kwamba,
Nasikika nikisema
Labda kuna sababu,
Kuhusu hilo jambo,
Lakini ikiwa ni hivyo,
Nasikika nikisema
Hatua fanya nipate furaha,
Mpenzi, kwani kwangu kusikia uzoefu,
Angalau ningeambiwa nini kiendeleacho.
Nasikika nikisema
This poem has not been translated into any other language yet.
I would like to translate this poem