Baba Poem by amos nyakundi

Baba

Oh BABA, Nilikua nafikiria kwamba mimi na wewe tutaishi
milele.
sijahamini ya kwamba wakati wako huu karibu.
ukienda mama mpendwa.
naogopa kukaa peke yangu hapa,
ukienda mama.
nainamia kichwa changu karibu na chako,
kukupatia shuku na kutereza nywele yako.
na mungu yu jua kuwa nawe ndio maisha.

COMMENTS OF THE POEM
READ THIS POEM IN OTHER LANGUAGES
Close
Error Success