Shukrani kwa taifa, kumudu hali tamba
Bima yetu EduAfya, metupa afya bomba
Na Maisha kaongozwa, kwa weledi tosombe
Sasa maradhi kutishwa, kwa mipango kabambe
Umetujali kiafya, kwa mali nayo hali
Gharama meipunguza, twingapo spitali
Kadi kuzitanguliza, afya kuifadhili
Hongera sana EduAfya, metuaa zigo mbali
Matibabu lokolea, wagonjwa si twapata
Matatizo mendokea, bilahsi i kashata
Madawa twapokea, bila kwio matata
Ajali ikitokea, watufaa utata
Ng'ambo sis twaabiri, kwa mpango huu afya
Na wakiwemo wasafiri, walozidiwa chafya
Kaileta kuu shari, mfukjenu kubofya
Kuivua i hatari, metufaa eduAfya
Ni pongezi EduAfya, tawasifu tatunga
Ka kuokoa mamia, vibwebwe tutafunga
Wependwa wametufaa, kabla kutupanga
Bima i meshabikia, kuupokea mwanga
Tuziimbe zote tenzi, ndiposa kushukuru
Kwa miaka tutakuensi, kwangaza kwetu nuru
Metumilka kurunzi, miale ilo huru,
Nyinyi hakika watunzi, kutuwekea duru
Wasiwasi meshazika, kuwazia la kutenda
Maradhi yakifika, vituoni takwenda
Peresheni tutashika, uvimbe tutashinda
Makali tutayazika, afya yetu kulinda.
Maumivu mepunguza bima twashabikia
Hata ng'ambo kuangaza, tiba kufikia
Hongera we kutulaza, mapenzi lotujia
Wengi unatupendeza, poengezi EduAfya.
This poem has not been translated into any other language yet.
I would like to translate this poem