Na Safiri. Poem by ckim mbasa

Na Safiri.

Rating: 5.0

Nilikupenda lakini nikakukosa,
Uliniacha nikawa, kujikosa maulana,
Nikafa kwa uchochole, wa roho dhoofu
Shani kitendawili, vilievile mahaba,
Kamwe hakuna, ilhali mbinguni juu,
Nilifikiria naogelea, kumbe nazama,

Naenda zangu,
Nyuma sigeuki,
Yameisha naenda,
Safari yakujisalimisha,
Kwani roho yangu dhaifu.

COMMENTS OF THE POEM
READ THIS POEM IN OTHER LANGUAGES
Close
Error Success