Upweke wa jinamizi
Halina hofu kwa maghani
Wangu moyo wakuandama
Tena kwako kwa mahaba.
Nyoyo zetu zipolanda
Vipi yasi tamua?
Majira za machweo
Subira ndo matokeo
Hisia za mgongomano
Nishajua mapenzi mirimo.
Nyoyo zetu zipolanda
Vipi yasi tamua?
Wangu mali rahani
Kwa haki si utani
Wangu roho pwaguzi
Kwa shairi ntarai.
Nyoyo zetu zipolanda
Vipi yasi tamua?
© Robins 2014
This poem has not been translated into any other language yet.
I would like to translate this poem