Muriungi Martin

Muriungi Martin Poems

1 Mja ninanena, neno la hikima,
Sio kuwachana, wenye taadhima,
Naweka bayana, mbaini hima,
Mjuwe hakuna, mume wa waume.
...

Usilie mwanamwari, kwani vita ni karimu,
Mpenzi wako kisiri, litupa makono gumu,
Mbinguni kuso na heri, imara akajikimu,
Nyamaza dada silie, vita kweli ni karimu.
...

Imi nataka niambe, niambe kwa ukabambe,
Sitoamba kwa kithembe, wala kunena kizembe,
Nifikie na mashombe, ngoma yangu na itambe,
Ngoma yangu musikile, amani ndugu amani.
...

It started slowly,
From a place so hilly,
She walked shyly,
Her face smiley,
...

Ooh! thee beauty of the ages,
Whose beauty is sung praises,
For you, I write,
A poem,
...

Makiwa makiwa mama, umempoteza mwana,
Rajuayo kaditama, mava makazi yafana,
Peke baki kukoroma, maisha tunga kwa kina,
Tukufu vita na kifo, pamwe nyanja za maiti.
...

The Best Poem Of Muriungi Martin

3 Hapana Pwaguzi

1 Mja ninanena, neno la hikima,
Sio kuwachana, wenye taadhima,
Naweka bayana, mbaini hima,
Mjuwe hakuna, mume wa waume.

2Mume wa waume, dunia hakuna,
Tawa gumegume, gwiji kijiona,
Japo nyamaume, tatishwa na wana,
Sijifanye pwagu, tapata pwaguzi.

Muriungi Martin Comments

Muriungi Martin Quotes

1Maisha ni ngoma inayohitaji utaratibu.

Maisha sio kamari. kuishi ni kumoja.

Muriungi Martin Popularity

Muriungi Martin Popularity

Close
Error Success