Muriungi Martin Poems

Hit Title Date Added
1.
3 Hapana Pwaguzi

1 Mja ninanena, neno la hikima,
Sio kuwachana, wenye taadhima,
Naweka bayana, mbaini hima,
Mjuwe hakuna, mume wa waume.
...

2.
Usilie, Vita Ni Karimu.

Usilie mwanamwari, kwani vita ni karimu,
Mpenzi wako kisiri, litupa makono gumu,
Mbinguni kuso na heri, imara akajikimu,
Nyamaza dada silie, vita kweli ni karimu.
...

3.
Naamba.

Imi nataka niambe, niambe kwa ukabambe,
Sitoamba kwa kithembe, wala kunena kizembe,
Nifikie na mashombe, ngoma yangu na itambe,
Ngoma yangu musikile, amani ndugu amani.
...

4.
Magical Affection

It started slowly,
From a place so hilly,
She walked shyly,
Her face smiley,
...

5.
I Can't Stop Loving You

Ooh! thee beauty of the ages,
Whose beauty is sung praises,
For you, I write,
A poem,
...

6.
Maabadi Ya Chafuka.

7.
Vita Na Kifo

Makiwa makiwa mama, umempoteza mwana,
Rajuayo kaditama, mava makazi yafana,
Peke baki kukoroma, maisha tunga kwa kina,
Tukufu vita na kifo, pamwe nyanja za maiti.
...

Close
Error Success